Moto wazidi kuchoma msitu Ufaransa

Hali isiyotarajiwa ya upepo, joto na kiangazi kikali Kusini Mashariki mwa Ufaransa, imechangia kuenea kwa kasi kwa moto wa msituni, kote katika eneo hilo.
Wazima moto 600 wanakabiliana na moto huo ambao ulianza Jumatatu asubuhi, katika mbuga moja ya kitaifa ya wanyama pori, iliyoko katika jimbo la Luberon, na kufikia sasa moto huo unateketeza eneo la ukubwa wa kilomita 8 mraba.
Mamia ya watu wamehamishwa kama njia ya kuchukua tahadhari
A firefighter tackles a forest fire in Carros near Nice, southern FranceHaki miliki ya pichaEPA
Image captionMzima moto eneo la Carros
The Préalpes d'Azur regional nature park suffered damageHaki miliki ya pichaEPA
Image captionUharibifu uliosabishwa na moto eneo laPréalpes d'Azur
A burnt-out car in Biguglia, CorsicaHaki miliki ya pichaAFP / GETTY IMAGES
Image captionMoto wa msituni
Smoke billows above homes as a fire blazes in Biguglia, CorsicaHaki miliki ya pichaGETTY IMAGES
Image captionMoto ukiwaka eneo la Biguglia

No comments

Powered by Blogger.