Watu kadhaa waokolewa baada ya magari ya angani kugongana
Watu kadhaa walibaki wamekwama hewani baada ya gari la angani la kutumia nyaya kugonga nguzo na kusimama juu wa mto Rhine nchini Ujerumani.
Wazima moto na makundi ya waokoaji mjini Cologne walitumia kreni kuwafikia abiria 75 waliokuwa wamekwama baadhi ambao waliripotiwa kuwa umbalia wa hadi mita 40 angani.
Picha zilionyesha watoto wakishushwa ardhini lakini hakuna majeruhi walioripotiwa.
Magari yote 32 yaliyokuwa yakihudumu waki huo yalisimama wakati ajali ilitokea.




No comments